• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Mwanza City Council
Mwanza City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Orodha ya Viongozi Waliopita
      • Wenyeviti wa Halmashauri
      • Wakurugenzi
      • Wakuu wa Wilaya
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya msingi
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Uchumi, Mipango na Ufuatiliaji
      • Mazingira na Usafi
      • Fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Maji
    • Vitengo
      • TEHAMA,Habari na Uhusiano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria na Usalama
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Usafi wa mazingira na uhifadhi wa taka ngumu
    • Leseni
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Maji
  • Baraza la Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu za halmashauri
    • Ratiba ya vikao
    • Mihtasari ya vikao vya baraza
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • TASAF
    • Mfuko wa Jimbo
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Waraka
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio Yajayo
    • Magazine

Mfuko wa Jimbo


 

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI ILIYOTEKELEZWA KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016

Halmashauri ya Jiji kwa mwaka wa fedha 2015/2016 imepokea jumla ya Tshs. 42,087,758 kwa ajili ya kutekeleza miradi katika mfuko wa kuchochea maendeleo wa Jimbo la Nyamagana.  Kwa kuzingatia miongozo mbalimbali ya utekelezaji miradi ya maendeleo ya ukamilishaji wa miradi viporo, miradi ifuatayo iilitekelezwa kwa mwaka huu wa fedha:

NA.

JINA LA MRADI

GHARAMA YA MRADI

KIASI KILICHOTENGWA

% YA UTEKELEZAJI

MAONI

1.
Ukamilishaji nyumba ya Mwalimu shule ya msingi Mhandu Kata ya Mhandu

10,000,000

10,000,000

100

Mradi umekamilika na unatumika
2.
Ukamilishaji wa madarasa 2 shule ya msingi Luchelele Kata ya Luchelele

10,401,750

10,401,750

100

Mradi umekamilika na unatumika
3.
Ukamilishaji wa Zahanati ya Isebanda Kata ya Lwanhima kuwa Kituo cha Afya kwa awamu ya kwanza

60,590,625

21,684,008

100

Kwa awamu ya kwanza mradi umekamilika kwa kazi zilizopangwa kufanyika. Pia mradi huu ulitengewa kiasi cha Tshs. 35,000,000 katika fedha za bajeti ya maendeleo  mwaka wa fedha 2016/17

    

MIRADI ILIYOTEKELEZWA NA FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 .

NA

JINA LA MRADI

KATA

GHARAMA

1
UJENZI WA UZIO SHULE YA MSINGI MKUYUNI  “A” na “C”

MKUYUNI

12,641,600

2
UKAMILISHAJI WA UJENZI WA MADARASA MAWILI NA OFISI YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI SHAMALIWA

IGOMA

5,788,100

3
UKAMILISHAJI WA DARASA MOJA (1) SHULE YA MSINGI NYASHANA.

MBUGANI

4,910,484

4
UKAMILISHAJI WA UJENZI WA UZIO SHULE YA MSINGI NYEGEZI NA NYABULOGOYA AWAMU YA PILI.

NYEGEZI

7,871,000

5
UKARABATI WA OFISI YA WALIMU SHULE YA MSINGI MHANDU “D”

MHANDU

1,000,000

6
KUFUNGUA BARABARA YA IKIZU INAYOUNGANISHA MTAA WA NYERERE “B” NA MTAA WA BUGARIKA

MABATINI

1,200,000

7
UKAMILISHAJI WA UJENZI WA UZIO SHULE YA MSINGI NYEGEZI NA NYABULOGOYA AWAMU YA PILI.

NYEGEZI

4,100,000

8
UKARABATI WA MADARASA SITA NA OFISI MBILI ZA WALIMU SHULE YA MSINGI IGOMA ‘C’ MTAKUJA

IGOMA

6,312,000

9
UKAMILISHAJI WA KITUO CHA POLISI KISHILI

KISHILI

5,756,400

10
UKARABATI WA MADARASA NA KORIDO SHULE YA MSINGI MTAKUJA(IGOMA C)
IGOMA

4,134,000

11
UWEKAJI WA GETI KATIKA UZIO WA SHULE YA MSINGI MKUYUNI C
MKUYUNI

850,000

12
KUCHANGIA MRADI WA UJENZI WA KITUO CHA POLISI NYEGEZI
NYEGEZI

3,230,788

13
KUKAMILISHA UJENZI MNARA WA TANKI LA MAJI KATIKA ZAHANATI YA HUDUMA MASHULENI.

NYAMAGANA

2,225,950

14
MRADI WA UNUNUZI WA VITANDA VYA JUU NA CHINI(DOUBLE DEKA) KATIKA SEKONDARI YA BUHONGWA

BUHONGWA

5,000,000

15
MRADI WA UFUNGAJI MFUMO WA UMEME WA JUA ZAHANATI YA FUMAGILA

KISHILI

1,500,000



ORODHA YA MIRADI ITAKAYOTEKELEZA NA FEDHA ZA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO LA NYAMAGANA KWA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2018/2019 YA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA.

NA

JINA LA MRADI

KATA

GHARAMA

1
UKAMILISHAJI WA MADARASA MAWILI SHULE YA SEKONDARI MKOLANI

MKOLANI

5,000,000/=

2
UMALIZIAJI WA OFISI MBILI ZA WALIMU MTONI SEKONDARI

MABATINI

4,000,000/=

3
UMALIZIAJI WA MADARASA MAWILI SHULE YA MSINGI BULALE

BUHONGWA

7,000,000/=

4
UMALIZIAJI WA VYOO SHULE YA MSINGI NYAKABUNGO “A”

ISAMILO

2,900,000/=

5
UKAMILISHAJI WA UJENZI WA MADARASA MAWILI SHULE YA SEKONDARI MHANDU

MHANDU

7,336,000/=

6
UKAMILISHAJI WA MADARASA MAWILI SHULE YA MSINGI BUGAKA

KISHILI

10,000,000/=

7
UKAMILISHAJI WA DARASA SHULE YA SEKONDARI NYASHANA

MBUGANI

3,000,000/=

8
UMALIZIAJI WA NYUMBA MOJA YA WALIMU  SHULE YA SEKONDARI MAHINA

MAHINA

10,000,000/=

9
UKAMILISHAJI WA DARASA SHULE YA MSINGI AMANI

BUTIMBA

3,500,000/=

10
UKAMILISHAJI WA UJENZI WA CHOO CHA MATUNDU MATANO

PAMBA

6,500,000/=


JUMLA KUU TSHS.

 

59,236,000/=





Matangazo ya Kawaida

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA March 03, 2023
  • AJIRA ZA SENSA ZA MUDA KWA MWAKA 2022 May 05, 2022
  • Tangazo la kazi za muda May 25, 2022
  • Tangazo la kazi za muda May 25, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Chanjo ya polio kuanza kutolewa

    November 29, 2022
  • MKUU WA WILAYA NA WADAU WA MAZINGIRA KUING'ARISHA MYAMAGANA

    September 29, 2022
  • MKUU WA WILAYA NA WADAU WA MAZINGIRA KUING'ARISHA MYAMAGANA

    September 29, 2022
  • Kamati ya Siasa Mkoa wa Mwanza yaridhishwa na mpangilio wa ujenzi unaoendelea wa soko kuu la kisasa jijini Mwanza.

    September 01, 2022
  • Tazama Zote

Video

Kiapo cha wakuu wa wilaya wapya wa Mkoa wa Mwanza
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalimbali
  • Kuhusu Sisi
  • Zabuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Mwanza
  • Vibali Kusafiri nje ya Nchi
  • Matokeo ya Kidato cha Sita
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)

Watembeleaji

world map hits counter

Idadi ya wageni

freevisitorcounters's Website

Ramani Elekezi

Wasiliana Nasi

    Barabara ya Balewa

    Sanduku la Posta: 1333,Mwanza

    Simu: +255 28 250 1375

    Simu ya Kiganjani: 0768520195

    Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Copyright ©2017 Mwanza City Council . All rights reserved.